Ticker

6/recent/ticker-posts

AUDIO:ALICHOKISEMA MBWANA SAMATTA JUU YA MAJARIBIO YAKE CSKA MOSCOW,NA KURUDI KATIKA SOKA LA BONGO...sikiliza...

Mhariri:Herman Kihwili. IMEWEKWA.Jun 5,2015 SAA 12:45 JIONI
Displaying thumb_IMG_2066_1024.jpg
Mshambuliaji nyota wa TP Mazembe, Mtanzania, Mbwana Samatta amesema atarejea na kucheza mpira katika klabu
za nchini labda baada ya miaka 20 ijayo.

Samatta amesema angependelea kuendelea mbele zaidi kisoka katika nchi nyingine za Afrika au Ulaya, halafu kama ni nyumbani Tanzania, atarejea baada ya miaka 20.

Samatta pia ameelezea safari yake ya majaribio katika klabu ya Urusi ya CSKA MOSCOW

SIKILIZA HAPO CHINI
KWA TAARIFA,BREAKING NEWS,RATIBA PAMOJA NA MATOKEO YA MECHI MBALIMBALI,LIKE PAGE YA FACEBOOK  BONYEZA HAPA (Jamii na Michezo) 

Post a Comment

0 Comments