Siku ya Jumamosi ya tarehe 25 timu ya Simba ilichomoka na ushindi wa mabao 3 - 0 dhidi ya timu ya Ndanda Fc kutoka
Mtwara,katika mchezo wa Ligi kuu Tanzania Bara,mchezo uliopigwa katika dimba la uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Mtwara,katika mchezo wa Ligi kuu Tanzania Bara,mchezo uliopigwa katika dimba la uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
![]() |
| Kikosi cha Simba Sc kilichoanza |
![]() |
| Kikosi cha Ndanda Fc Kilichoanza |
Katika mchezo huo mabao ya Simba Sc yalifungwa na Jonas Mkude dakika ya 8 ya mchezo huo.
Dakika ya 12 Simba ilikosa penalti iliyopigwa na Ibrahim Ajib,penalti hiyo ilitokana na Okwi kuangushwa na mchezaji wa Ndanda katika eneo la Hatari.
Dakika ya 15 ya mchezo huo Ramadhani Sindano aliipatia Simba sc bao la pili,na bao la tatu la Simba lilipatikana katika dakika ya 21 na alifunga Said Ndemla.
ANGALIA PICHA ZA MCHEZO HUO
KWA TAARIFA,BREAKING NEWS,RATIBA PAMOJA NA MATOKEO YA MECHI MBALIMBALI,LIKE PAGE YA FACEBOOK BONYEZA HAPA (Jamii na Michezo) .




































0 Comments