Tamasha la Pasaka ni Tamasha linalowakutanisha wakristo na waumini wa dini nyingine pia,katika kusherehekea sikukuu ya
kufufuna na kupaa kwa Yesu kristo.
kufufuna na kupaa kwa Yesu kristo.
Tamasha la mwaka huu la Pasaka lilikuwa ni kazimisha miaka 15 ya tamasha hilo linaloandaliwa na kampuni ya Msama Promotion na lilifanyika katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam siku ya tarehe 5 Apri.2015.
Waimbaji mbalimbali kutoka Tanzani na nje ya mipaka ya Tanzania walipata nafasi ya kumsifu mungu kwa njia ya Uimbaji
ANGALIA PICHA ZA TAMASHA HILO
KWA TAARIFA,BREAKING NEWS,RATIBA PAMOJA NA MATOKEO YA MECHI MBALIMBALI,LIKE PAGE YA FACEBOOK BONYEZA HAPA (Jamii na Michezo) .
%2Bcopy.jpg)



%2Bcopy.jpg)












%2Bcopy.jpg)



0 Comments