Mechi kati ya Yanga dhidi Stand United kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar iliyomalizika kwa Yanga kuibuka na ushindi wa mabao 3
- 2,ameshudiwa kipa Deogratius Munish ‘Dida’ kuanza baada ya Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van der Pluijm kuamua kumpumzisha kipa Ally Mustapha ‘Barthez’.
- 2,ameshudiwa kipa Deogratius Munish ‘Dida’ kuanza baada ya Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van der Pluijm kuamua kumpumzisha kipa Ally Mustapha ‘Barthez’.
Dida amekuwa akisubiri katika benchi kwa muda mrefu sasa na leo alikuwa na kazi ya ziada ya kumshawishi Pluijm ili aweze kumpa nafasi nyingine tena.
![]() |
| Deogratius Munish ‘Dida’ |
Jamii na Michezo imefanya mahojiano maalumu na Kipa huyo Deogratius Munish ‘Dida’,ili kuweza kufahamu hali ya kukaa bechi kwa muda mrefu anaichukuliaje?
MSIKILIZE ZAIDI DEOGRATIUS MUNISH "DIDA"


0 Comments