Ticker

6/recent/ticker-posts

AUDIO:SIKILIZA ALICHOKISEMA MAMA KARUME KUHUSU SIMBA NA YANGA,TIMU YA COASTAL UNION CHINI YA JAMUHULI KIHWELO INASEMAJE JUU YA MECHI NA YAANGA? NA KUHUSU MANENO YA PELLEGRINI BAADA YA KICHAPO JE?sikiliza..

Mhariri:Herman Kihwili. IMEWEKWA.APRIL .8,2015 SAA 08:09 USIKU
1.Ni Miaka 43 tangu kitokee kifo za Rais wa Kwanza wa Zanzibar,Abeid Aman Karume, katika swala zima la michezo
anaenziwa vipi? msikilize Mama Fatma Karume akikumbusha Historia Kidogo ya kiongozi huyo,husasani katika vilabu vya Simba na Yanga.

2.Ligi kuu Tanzania bara inaendelea siku ya Jumatano,Coastal Unioni chini ya Kocha Jamuhuli Kihwelo inakutana na Yanga,sikiliza walichokisema kuelekea katika mchezo huo.

3.Pia kuna Taarifa kuhusiana na kocha wa Zamani wa Polisi morogoro Adof Richard ambaye amekabidhiwa timu ya Taifa ya vijana (U-15)

4.Ni habari za michezo za kimatafa,baada ya kichapo kutoka kwa Crystal Palece,kocha wa Manchester City Manuel Pellegrini  amezungumza.

SIKILIZA TAARIFA ZOTE


KWA TAARIFA,BREAKING NEWS,RATIBA PAMOJA NA MATOKEO YA MECHI MBALIMBALI,LIKE PAGE YA FACEBOOK  BONYEZA HAPA (Jamii na Michezo) .

Post a Comment

0 Comments