Jana katika mechi ya watani wa Jadi Simba na Yanga ilimalizika kwa klabu ya Wekundu wa Msimbazi Simba
kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya watani wao Yanga mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliopigwa katika Dimba la uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya watani wao Yanga mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliopigwa katika Dimba la uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Katika mchezo huo klabu ya Yanga ilimaliza wakiwa Pungufu kwa kupata pigo baada ya Mchezaji wao Haruna Niyonzima kutolewa nje kwa kadi nyekundu kufuatia kupiga mpira kuelekea nyavuni,ikiwa refarii akiwa amepuliza kipenga.
KWA TAARIFA,BREAKING NEWS,RATIBA PAMOJA NA MATOKEO YA MECHI MBALIMBALI,LIKE PAGE YA FACEBOOK BONYEZA HAPA (Jamii na Michezo) .



















































0 Comments