Simba,Simba,Simba….Ndio wimbo ulikokuwa ukiimbwa baada ya mechi
ya watani wa Jadi Simba na Yanga Kumalizika na klabu
hiyo ya Wekundu wa
Msimbazi kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya watani wao Yanga mchezo wa ligi
kuu Tanzania Bara uliopigwa katika Dimba la uwanja wa Taifa jijini Dar es
Salaam.
Bao la Simba lilifungwa na Emmanuel Okwi dakika ya 51 kipindi cha pili,baada ya Kipindi
cha kwanza kilimalizika kwa klabu hizo mbili kutofungana.
Katika kipindi cha kwanza klabu ya Yanga wakifanya mabadiliko dakika ya
30 kwa kumtoa Danny Mrwanda na kumuingiza Huse Javu.
Ndani ya Dakika 45 za kwanza timu hizo zilicheza kwa
kushambuliana huku timu zote zikicheza kwa Tahadhali,Na kwenda mapumziko pasipo
kufungana.
Yanga ilimaliza wakiwa
Pungufu kwa kupata pigo baada ya Mchezaji wa wake Haruna Niyonzima kutolewa nje
kwa kadi nyekundu kufuatia kupiga mpira baada ya refarii kupuliza kipenga.
SIMBA SC:
1.Ivo Mapunda,2.Kessy
Ramaddhani,3.Muhamed Hussein,4.Hassan Isihaka,5.Juuko Murshid,6.Adbi
Banda,7.Ramadhan Singano,8.Jonas Mkude,9.Ibrahim Ajib,10.Said
Ndemla,11.Emmanuel Okwi.
Substitutes:
22.Manyika Peter,13.Nassor
Masoud,14.Joseph Owino,15.Simon SSerenkuma,16.Dan
SSerenkuma,17.EliusMaguri,18.Awadh Juma
Technical beanch:
1.Goran Kopunovic(srb),2.Seleman
Matola,3.Adam Abdallah,4.Yassin Gembe Salim Swaka,6.Ngande Ngalambe.
YOANG AFRICANS:
1.Ally Mustafa,2.Mbuyu
Twite,3.Oscer Joshua,4.Nadir Haroub,5.Kelvin Yondani ,6.Said Juma,7.Saimon
Msuva,8.Haruna Niyonzima,9.Amissi Tabwe,10.Mrisho Ngassa,11.Dan Mrwanda.
Substitutes:
30.Deogratius Munish,13.Rajab
Zahir,14.Pato Ngonyani,15.Salum Telela,16.Said Dilunga,17.Husein Javu,18.Kpah Sherman.
Technical beanch:
1.Hans Van Pluijn(Hol)Charles
Mkwasa,3.Juma Pondamali,4.George Yomba,5.Jacob Onyango,6.Mahmoud Omary
Mach Comm:AME SENTIMEYA
Referee:MARTIN SAANYA(Morohoro)
1st Asst :Soud Lila
(DSM)
2st Asst:Frorent Zabron (Dodoma)
4st Ass:Isarel Mjun (DSM)
KWA TAARIFA,BREAKING NEWS,RATIBA PAMOJA NA MATOKEO YA MECHI MBALIMBALI,LIKE PAGE YA FACEBOOK BONYEZA HAPA (Jamii na Michezo) .




0 Comments