Ticker

6/recent/ticker-posts

BALOTELLI HUENDA AKAFIKISHWA MAHAKAMANI

Mhariri:Herman Kihwili IMEWEKWA.JUL.11,2014 SAA 11:53 JIONI
Mshambuliji wa Italia Mario Balotelli huenda akafikishwa mahakamani kufuatia kuleta utata baada ya kuchapisha
picha yake katika mtandao wa kijamii wa Instagram akiwa ameshika  bunduki na kuielekeza katika kamera na kuambatanisha na ujumbe usemao  "kiss kubwa kwa maadui wote".
Mchezaji huyo wa AC Milan aliondoa haraka picha hiyo, lakini matukio ya hivi karibuni huenda yakamfanya aonekane anataka kuleta madhara nchini Italia ambapo yeye imekuwa  akinyanyaswa mara kwa mara kwa ubaguzi wa rangi, na amekuwa na hali ngumu ya kukatishwa tamaa katika kampeni za Kombe la Dunia nchini Brazil.
ILI KUWEZA KUPATA TAARIFA MBALIMBALI,LIKE PAGE YA FACEBOOK  BONYEZA HAPA (Jamii na Michezo) .

Post a Comment

0 Comments