Ticker

6/recent/ticker-posts

DONDOO ZA MAGAZETI YA ULAYA:TAARIFA JUU YA GIGGS KUSIMAMISHA UHAMISHO WA THIAGO,DROGBA KUPUUZIA KURUDI CHELSEA,KIPA REINA NA LIVERPOOL YAKE PAMOJA NA NYINGINE NYINGI ZIKO HAPA

Mhariri:Herman kihwili,IMEWEKWA.May. 21,2014 SAA 05:42 USIKU

Barcelona wapoteza mvuto na Reina

Pepe Reina inaonekana kuna uwezekano wa kutohamia
katika klabu ya Barcelona baada ya klabu hiyo kupoteza maslahi na kipa huyo wa Liverpoo, ambaye kwa sasa anakipiga kwa mkopo katika klabu ya Napoli.
Chanzo: Daily Star
Jumatano, Mei 21, 2014 17:4



Depay kuwa mchezaji wa kwanza kusainiwa na Van Gaal 
Memphis Depay anajiandaa kuwa mchezaji wa kwanza kusainiwa na meneja mpya wa Manchester United Louis van Gaal. Mshambuliaji huyo wa PSV ata waghalimu mashetani hao wekundu karibu na £15 million.

Chanzo: Sun
Jumatano, Mei 21, 2014 17:08


Swansea wamtolea macho kiungo wa Feyenoord , Clasie

Mchezaji wa kimataifa kutoka Uholanzi Jordy Clasie anaweza kuelekea Swansea City baada ya timu hiyo kuvutiwa naye.
Chanzo: Voetbal International
Jumatano, Mei 21, 2014 16:13



Giggs kusimamisha uhamisho wa Thiago kwenda Manchester United.



Hoja ya Manchester United kwa ajili ya Thiago Alcantara itaangaliwa dirisha lingine la uhamisho baada Ryan Giggs kupiga kura ya turufu juu ya mpango huo, na kusisitiza kuwa ilikuwa si sahihi kwenda katika klabu hiyo.
Chanzo: BBC
Jumatano, Mei 21, 2014 16:01


Fabianski anataka kuondoka Ligi Kuu 

 kipa wa Arsenal Lukasz Fabianski anataka kuhamia klabu nyingine za Ligi Kuu na yuko katika mazungumzo na klabu kadhaa za Uiingereza baada ya kukataa mkataba mpya na the Gunners.
Chanzo: Evening Standard
Jumatano, Mei 21, 2014 15:17



Newcastle karibu kufunga makubaliano kwa dili la £ 1.6m kwa ajili ya Perez

Newcastle watafunga makubaliano katika siku za karibuni juu  ya mshambuliaji wa Tenerife Ayoze Perez baada ya mchezaji huyo kuwa huru.
Chanzo: Daily Telegraph
Jumatano, Mei 21, 2014 14:57





Speroni yuko katika mazungumzo na Crystal Palace

Kipa wa Crystal Palace  Julian Speroni yuko katika mazungumzo na klabu hiyo ili kuweka kujadili juu mkataba mpya na klabu hiyo.

Chanzo: Daily Mail
Jumatano, Mei 21, 2014 14:49




West Ham macho kwa Martin Olsson



Meneja wa West Ham Sam Allardyce anaangalia juu ya hoja ya Mlinzi wa Norwich  Martin Olsson ikiwa anataka kuimarisha ulinzi wake. 
Chanzo: Daily Mail
Jumatano, Mei 21, 2014 14:29



Drogba kupuuzia kurudi  Chelsea kwa sababu ya neema ya Juventus


Didier Drogba atapuuzia hoja ya kurudi Chelsea kwa sababu ya kusainiwa na mabingwa wa Serie A  Juventus.

Chanzo: Daily Star
Jumatano, Mei 21, 2014 14:07



Zola ana nia ya kufanya kazi na Norwich 

Gianfranco Zola ana nia ya kuwa na muda zaidi na Norwich City na anasema hoja ya kuamia katika klabu hiyo "ina wezekana".
Source: Football Direct News
Jumatano, 21 May 2014 13:

Post a Comment

0 Comments