Ticker

6/recent/ticker-posts

COLE KUSTAFU KUICHEZEA TIMU YA TAIFA BAADA YA HODGSON KUMUACHA KATIKA KIKOSI CHA ENGLAND KWA AJILI YA KOMBE LA DUNIA

Mhariri:Herman kihwili,IMEWEKWA.May. 11,2014 SAA 09:42 ALFAJIRI

Beki wa kushoto wa Chelsea Ashley Cole anastaafu kuitumikia timu yake ya Taifa baada ya kuachwa katika kikosi
cha England  cha kocha  Roy Hodgson kwa ajili ya Kombe la Dunia nchini Brazil mwaka huu. 

Roy Hodgson alimpigia simu mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 33 , ambaye amecheza mechi 107 , kumjulisha kwamba yeye hajajumuishwa katika safari hiyo ya ndege, na mchezaji wa Southampton  Luka Shaw amechukuwa nafasi yake. 
In: Luke Shaw will go to the World Cup ahead of long-time left back Ashley Cole
Luka Shaw atakwenda kushiriki Kombe la Dunia kuchukuwa nafasi ya beki wa muda mrefu Ashley Cole
Finished: Cole, who has 107 England caps, will retire from international football

Mchezaji huyo wa Southampton mwenye umri wa miaka 18 Luka Shaw ameitwa na Hodgson, pamoja na Leighton Baines.

Ashley Cole ali tweete: "nimepokea simu kutoka kwa Roy na kukukubaliana kwamba kikosi cha England lazima kihusishe wachezaji vijana. Nadhani sasa ni bora nistaafu katika timu ya Uingereza".

"Tuna meneja mkubwa na timu na Ninawatakia mafanikio tu.Mimi nitakuwa nawasaidia kama shabiki wa kweli. Shukrani kwa kila mtu na kwa kila kitu,kwa anayenipenda na asiyenipenda, kiukweli imeniuma kuacha kuichezea  nchi yangu"

"Baines na Shaw ni wachezaji wakubwa, wameonekana msimu huu, na ni tegemeo la baadaye la nchi hii, ilikuwa ni furaha kucheza mechi 107 "aliandika Ashley Cole

Give youth a chance: Roy Hodgson will turn to England's young players when he names his World Cup squad
Kuwapa vijana nafasi: Roy Hodgson amerejesha vijana katika kikosi cha England katika orodha ya majina ya kwenda katika Kombe la Dunia

Named: Everton youngster Ross Barkely is also in the squad
Ametwa: kijana wa Everton Ross Barkely naye pia yuko katika kikosi 
Michael Carrick is facing the axeAshley Young is likely to miss out

Wanakabiliwa na shoka: wachezaji wa Manchester United Michael Carrick (kushoto) na Ashley Young wanatarajiwa kukosa katika kikosi

Risky: Arsenal duo Alex Oxlade-Chamberlain (above) and Jack Wilshere (below) will both be included despite their injury concerns
Hatari: mchezaji wa Arsenal  Oxlade-Chamberlain (hapo juu) na Jack Wilshere (chini) wote wawili wanasemekana kuwepo  licha ya matatizo yao ya kuumia.

Hodgson will pick Wilshere despite injury conerns
Fire power: Hodgson will stand by Rickie Lambert, who was a vital part of the qualifying campaign
Moto wa nguvu :Hodgson atasimama upande wa Rickie Lambert, ambaye alikuwa ni sehemu muhimu katika kampeni ya kufuzu?


Vyanzo mbalimbali vya habari vinaripoti kuwa  kiungo wa Manchester United  Michael Carrick na beki wa Tottenham  Kyle Walker pia wamekosa katika orodha hiyo ya Hodgson itakayotolewa Jumatatu mchana. 


Phil Jones (22), Jordan Henderson (23), Jack Wilshere (22), Raheem Sterling (19), Alex Oxlade-Chamberlain (20), Danny Welbeck (23), Barkley (20) na Shaw wote wameitwa katika safari hiyo kwa ajili ya Brazil inavyosemekana.
Overlooked: Toronto FC striker Jermain Defoe will be placed on stand-by
Atapuuzwa: mshambuliaji wa Toronto FC Jermain Defoe atakuwepo?

Keeping his place: Phil Jones has overcome his shoulder problem to make the 23
Imewekewa nafasi yake?: Phil Jones akishika bega lake aliloumia 
John Ruddy will miss outFraser Forster will be named in the squad
Naye meneja wa England Roy Hodgson amekubali kushindwa kumtaja Ashley Cole kwa ajili ya kikosi cha Kombe la Dunia na akisema kuwa ilikuwa "ni moja ya maamuzi magumu" katika kazi yake. 

Bosi huyo wa zamani wa West Brom amebaini kuwa ameumia kwa kiasi kikubwa juu ya uamuzi wa kuwachukua Luka Shaw na Leighton Baines badala ya Cole . 



"Miongoni mwa maamuzi yangu magumu ambayo nimepata kuyafanya kwa ajili ya kikosi changu, ni kutomchagua Ashley ilikuwa ni moja ya maamuzi magumu," Hodgson aliiambiaTheFA.com. 







Post a Comment

0 Comments