Ticker

6/recent/ticker-posts

BRENDAN RODGERS ANYOOSHA MIKONO JUU BAADA YA LIVERPOOL KUTOKA SARE NA CRYSTAL PALACE(PICHA)

Mhariri:Herman kihwili,IMEWEKWA.May. 06,2014 SAA 11:00 ALFAJIRI
Brendan Rodgers amekubali kushindwa katika mbio za
kugombea ubingwa wa ligi kuu kufuatia Liverpool kutoka sare na Crystal Palace.

Liverpool walikuwa wakiongoza kwa mabao 3-0 katika mchezo huo uliopigwa kwenye uwanja wa Selhurst Park jijini London na walikuwa wakijiamini wangeondoka na faida ya alama tatu ambazo  zingewaweka mbali kidogo na Manchester City.


Liverpool sasa wampanda kileleni baada ya kufikisha pointi 81, huku Manchester City wenye michezo miwili mkononi wakiwa nafasi ya pili kwa pointi 80.

Majogoo hao wa jiji walikuwa wa kwanza kuandika bao la kuongoza dakika ya 18 kipindi cha kwanza kupitia kwa Joe Allen, dakika ya 53 Daniel Sturridge akifunga bao la pili,na bao la tatu lilifungwa dakika mbili baadaye na Luis Suarez ambaye aliishiwa nguvu na kububujikwa na machozi baada ya mchezo kumalizika asiamini kilichotokea.

Can't even look: Reds talisman Suarez breaks down after his side shipped a 3-0 leadBawling: Gerrard tends to an inconsolable Suarez after the final whistle
Out the way: Gerrard points a camera away from the dejected SuarezDeflated: Liverpool captain Steven Gerrard, a week on from his slip against Chelsea, rues the resultExaspperation: Daniel Sturridge looks on in anguish after missing a chance on goal


Na mabao ya Crystal Palace yalifungwa katika dakika ya 79 na Damien Delaney, na 
Dwight Gayle ambaye alifunga mabao mawili dakika ya 81  na dakika ya 88 na mechi kuisha kwa sare ya 3-3.

Alipoulizwa kuhusu kokosa ubingwa msimu huu kwa timu hiyo  yenye ukame wa miaka 24 bila kikombe, Rodgers aliiambia Sky Sports: "Ndiyo, nadhani tulihitaji kushinda usiku wa leo ili kuweka pressure  kubwa"

"Manchester City, wao  wana michezo miwili nyumbani  sasa, michezo miwili mgumu, lakini sisi tulihitajika kushinda. Nadhani Manchester City wata kwenda juu na kushinda michezo yao mawili na watakuwa mabingwa".

"Lakini kwa sisi kumekuwa na msimu bora hadi sasa. Kwa upande wetu kupata pointi 81 ni mafanikio makubwa, ni wazi tumesikitishwa,lakini tutaweza kufanya  tena".

"Tunamchezo mkubwa katika uwanja wa Anfield sasa, tunamaliza msimu na tutaweza kuendelea kutafuta katika kujenga na kuendeleza kile tunachokifanya."

Rodgers anakubali kwamba Liverpool watajilaumu wenyewe kwa makosa machache dhidi Palace, na uwezo wa kukosa kuona mapungufu kwa haraka ndicho kilichoighaimu tumu hiyo.
In action: Goalscorer Joe Allen (left) tries to win the ball from Palace striker Marouane ChamakhAmazing: Gayle celebrates with Yannick Bolasie, sparking roaring scenes at Selhurst ParkNo avail: Palace keeper Julian Speroni can't stretch to stop Daniel Sturridge's goal for Liverpool's secondIconic: Suarez celebrates match Alan Shearer and Cristiano Ronaldo's record of 31 goals in a seasonIncredible: Palace fans ensured there was a colourful backdrop to the game with this European-style 'tifo'England expects: Liverpool's Raheem Sterling flies down the wingHead down: Martin Skrtel joins his team-mates in utter despair after the final whistleIt's on: Suarez rushes back to the halfway line after netting Liverpool's third goalThe boss: Brendan Rodgers offers his side instructions from the Selhurst Park dugoutStarting the comeback: Simon Mignolet doesn't reach Damien Delaney's goal for PalaceFlying: Palace stars Bolasie and Gayle celebrate completing their incredible comeback
CRYSTAL PALACE Speroni 6; Mariappa 6, Delaney 7, Dann 6.5, Ward 6.5; Jedinak 5.5, Dikgacoi 5; Bolasie 7, Ledley 6, Puncheon 5 (Gayle 65, 7); Chamakh 5 (Murray 71, 6).
Booked: Dann, Mariappa.
Goals: Delaney 79, Gayle 81, 88
Manager: Tony Pulis 7.
LIVERPOOL Mignolet 6; Johnson 6, Skrtel 5.5, Sakho 5.5, Flanagan 6; Gerrard 6, Allen 7, Lucas 5.5; Sterling 7 (Coutinho 78, 6), Suarez 8, Sturridge 7.
Booked: Allen, Suarez, Skrtel.
Goals: Allen 18, Sturridge 53, Suarez 55
Manager: Brendan Rodgers 6.
Referee: Mark Clattenburg 7.

Slotting home: Gayle worms his way through Liverpool's leaky defence to kill the Reds' title dream




Post a Comment

0 Comments