Ticker

6/recent/ticker-posts

VIDEO:ALICHOKISEMA MFUNGAJI WA GOLI LA YANGA (CANNAVARO) KUHUSU AL AHLY NA OMBI LAKE KWA WATANZANIA

IMEWEKWA March . 02,2014 SAA 12:40 JIONI
Wawakilishi pekee wa Tanzania kwenye Mashindano ya Klabu Bingwa Barani Afrika timu ya Young Africans,wameliibuka na
ushindi wa bao 1 kwa 0 siku ya Jumamosi 1 March 2014 katika mchezo dhidi ya Al Ahly uliofanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Bao pekee la Naodha wa timu ya Young Africans Nadir Haroub "Cannavaro"katika dakika ya 82 ya mchezo,liliweza kuwainua vitini mashabiki wa timu hiyo na kuweza kuwanyamazisha mashabiki wachache wa timu ya Al Ahly ambao walijichanganya na wapinzani wa Yanga kwa Tanzania.

ANGALIA VIDEO  YA MAHOJIANO

 

Post a Comment

0 Comments