Mhariri:Herman kihwili,IMEWEKWA March. 17,2014 SAA 02:39 USIKU
Kocha Jose
Mourinho ametoa wito kwa viongozi wa Ligi Kuu
kuacha kumtuma mwamuzi Chris Foy katika michezo ya Chelsea baada ya mwamuzi huyo kuwatoa nje kwa kadi nyekundu wachezaji wawili wa Chelsea katika mchezo ambao walifunga bao 1-0 na Aston Villa siku ya Jumamosi.
kuacha kumtuma mwamuzi Chris Foy katika michezo ya Chelsea baada ya mwamuzi huyo kuwatoa nje kwa kadi nyekundu wachezaji wawili wa Chelsea katika mchezo ambao walifunga bao 1-0 na Aston Villa siku ya Jumamosi.
Foy alimtoa WILLIAN kwa kadi ya pili ya njano katika uwanja wa Villa Park kabla ya
kumtoa Ramires katika dakika za mwisho wa mchezo baada ya kukabiliana na Karim El Ahmadi.
Meneja
wa Chelsea Mourinho akaja juu ya uwanja baada ya kadi ya pili nyekundu na
pia kupelekwa nje na mwamuzi Foy, ambaye hakutaka kuzungumza na kocha huyo wa
Kireno baada ya mchezo.
Mourinho alionesha ubora wake katika kuumba maneno baada ya mechi katika mkutano na
vyombo vya habari , "Labda ni kusaidia ( Mwamuzi wa Ligi Kuu ') Kamati isimpeleke (Foy) kwenye mechi zetu," alisema Mourinho.
"Sina
haki ya kuomba (hili) nadhani nimechambua hali na kuona kuwa
kila wakati akiwa na Chelsea -. au si kila wakati - lakini mara nyingi akiwa na
Chelsea matatizo yako pale, mimi nafikiri labda itakuwa ni uamuzi
mzuri. "alisema Mourinho
Ingawa
hakuwa meneja, Mourinho alikumbuka Chelsea iliposhindwa na QPR
katika mwaka 2011 wakati Foy lipowatoa nje Jose Bosingwa na Didier Drogba.
0 Comments