Mhariri:Herman kihwili,IMEWEKWA March. 18,2014 SAA 08:59 USIKU
Didier
Drogba anahitaji kufanya kazi nzuri ili kukabiliana na hisia zake kwa
kurudi kwake Stamford Bridge akiwa na Galatasaray siku
ya leo Jumanne na kujaribu
kuipatia timu yake kuingia katika hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa.
Drogba
ambaye alitumia misimu nane na Chelsea, na kuuzwa katika majira ya
joto ya 2012 ilishinda kwa penalti mchezo wake wa mwisho kama mchezaji wa Chelsea katika Ligi ya Mabingwa dhidi ya Bayern Munich.
Mshambuliaji huyo
wa Ivory Coast ana mshikamano wa karibu na klabu, wachezaji ikiwa ni
pamoja na nyota wa sasa wa Chelsea Frank Lampard na Ashley Cole,pamoja na bosi Jose
Mourinho na mashabiki kwa ujumla , ambapo anakiri itakuwa vigumu kusherehekea goli la
Galatasaray mbele yao.
Drogba pia amebaini kuwa anajuto kuuzwa kwake na klabu hiyo kutokana na vile kazi ilivyokuwa kubwa.
"Mimi
ni wa Galatasaray lakini bila shaka kutakuwa na hisia. Ili niliona
mashabiki wa Chelsea maalum walikuwa nchini Uturuki lakini mchezo ulikuwa
mgumu," Drogba alisema.
"Kwa heshima zote katika klabu hii na wachezaji sitashangilia, lakini kama sisi tukishinda mimi nitakuwa na furaha".
"Nadhani
kuondoka Chelsea kulikuwa ni jambo kubwa. Kama niliweza kufanya vizuri,pia naweza kufanya hivyo hapa,
napenda kufanya hivyo tena lakini mimi daima nasema naamini niko katika
hatima. Kama nilitaka kucheza tena katika timu hii, inawezekana kuwa ilichotokea muda mrefu uliopita, lakini haikuwa na nina furaha kuwa na Galatasaray".
"Mimi nataka tu kushinda mchezo huu na kufuzu,hakuna kitu binafsi dhidi ya Chelsea hapa,haitatokea tena."
Drogba
pia aligusia kama akipewa nafasi ya kuiwakilisha Chelsea kwa mara ya mwisho, mara baada
mkataba wake nchi Uturuki utakapomalizika mwishoni mwa msimu, na aliongeza:
"Siwezi kurudi nyuma na kusema kuwa nitafanya kitu tofauti, labda
kama kocha labda kama kitu tofauti. mimi nitakaa katika soka. Je, unataka kazi
hapa (Chelsea)? Ndiyo bila shaka lakini si sasa bado nataka kucheza. "
0 Comments