Ticker

6/recent/ticker-posts

RAIS OBAMA AMPONGEZA NDUGU YAKE ALIYEFUNGA NDOA NA MHUDUMU

Mhariri:Herman Kihwili,IMEWEKWA FEB. 16,2014 SAA 07:34 USIKU
Thumbs up: Ben Obama, the brother of US President Barack, has married care worker Lily Achoch in an Oxfordshire registry office
Kidole gumba:Ben Obama, ni ndugu wa Rais wa Marekani Barack,amefunga ndoa na mfanyakazi wa ofisi ya Msajili ,Lily Achoch katika mji wa Oxfordshire
Ndugu wa Rais wa Marekani amefunga ndoa  na mhudumu katika mji wa Oxford - na kupokea simu binafsi  za pongezi kutoka kwa
ndugu wa mzee Barack.

Ingawa ndugu yake ni mmoja wa watu wenye nguvu zaidi duniani,lakini Ben Obama amechagua mke kutoka katika mazingira ya kawaida kwa kufunga ndoa na mhudumu wa ofisi ya Msajili kutoka mji wa Oxford,Bi. Lily Achoch  .
Brotherly love: US President Barack Obama and his younger brother Ben in the Oval Office of the White House in 2007
Upendo wa ndugu: Rais wa Marekani Barack Obama na ndugu yake mdogo Ben katika Ofisi ya Oval ya White House mwaka 2007
Muda mfupi kabla ya sherehe, Ben mwenye miaka 42, alipokea simu ya mkononi ya Rais kutoka Washington DC.
Ikisema: 'tumesikia,kwa sababu Barack ni mwanasiasa muhimu sana katika dunia na ni kawaida kuwa busy sana".
"Lakini yeye hutenga muda kwa masuala ya familia,kanitakia mimi na Lily pongezi. aliniambia alikuwa anaangalia jinsi ya kukutana na kwamba itakuwa hivi karibuni".
Mother: Ben Obama's mother Kezia, who moved to Bracknell, Berkshire from Kenya in 2003
Mama: mama Ben Obama,Kezia, ambaye alihamia Bracknell, Berkshire kutoka Kenya mwaka 2003
Family ties: Kezia Obama greets Barack's wife Michelle as they arrive to watch him be sworn in as the 44th US president in 2009
Mahusiano ya Familia: Kezia Obama akisalimiana na  mke wa Barack ,Michelle wakati alipowasiri kwa ajili ya kuhudhulia  kuapishwa kwa rais wa 44 wa Marekani mwaka 2009
Ben, ambaye alikuwa mgeni rasmi wa Rais katika Ofisi ya Oval baada ya kuchaguliwa kama rais wa Amerika wa kwanza mweusi,alitania kuwa,Barack hakutaja zawadi ya harusi.
"Labda atatoa - Natumaini hivyo,"alisisitiza.

Ndugu hao wawili hivi  karibuni waliongea kwenye simu baada ya magaidi kuvamia maduka ya ununuzi katika mji wa Nairobi, Kenya, ambapo Ben ndipo anapitokea.
Pia ni mjasiliamali,anamiliki mgahawa katika mji mkuu wa Kenya, ambapo alikutana na Lily,mwenye miaka 33, mwaka 2004.
Wanandoa hao wana watoto wawili - mwana wenye umri wa miaka minne na binti wenye umri wa miaka nane.
Ben ni mwana wa baba Barack, Mwandamizi wa Barack nchini Kenya  , na mtoto wa mama wa kambo wa rais,  Kezia - ambaye alihamia Bracknell, Berkshire, kutoka Kenya mwaka 2003.
Ben alizaliwa kama Bernard Obama nchini Kenya mwaka 1970 na alikuwa na umri wa miaka 12 wakati baba yake alifariki katika ajali ya gari katika mji wa Narobi mwaka 1982.

Post a Comment

0 Comments