Ticker

6/recent/ticker-posts

VIDEO/PICHA:MABOMU YA MACHOZI YATUPWA KATIKA MECHI YA VILLAREL NA CELTA VIGO

Mhariri:Herman Kihwili,IMEWEKWA FEB. 16,2014 SAA 09:45 USIKU
Villarreal

Mchezo wa Villarreal dhidi ya Celta Vigo ulisimamishwa kwa muda siku ya Jumamosi usiku baada ya mabomu ya machozi kutupwa juu
ya uwanja.
 
Wachezaji wa kutoka pande zote mbili walielekea nje ya uwanja katika hatua ya mwisho ya vurugu katika mechi hiyo ya La Liga,na Celta Vigo ilikuwa ikiongoza kwa 1-0,ambapo vyombo vya habari vilisema mabomu ya machozi yalirushwa karibu na  lengo la timu hiyo (wageni) na kuanza kutoa nje wingu zito la moshi mweupe.

Ni wazi Wachezaji wote walikuwa katika hatari ya kuumia kutokana na athari ya gesi,

Kipa wa Celta Vigo Yoel Rodriguez ilionekana akikimbia kutokana na moshi uligubika machoni  mwake.
Mashabiki walifunika nyuso zao pia walielekea nje ya uwanja.

Mechi hatimaye ikaanza tena katika uwanja mtupu na Celta ikashinda kwa mabao 2-0 kwa katika dakika ya 90.

Kushinda kwa Celta kuna maana Villarreal amekosa nafasi ya kuwa karibu na Athletic Bilbao kwa alama nne.

Zaidi ifuatavyo .. 
Making an exit: Fans inside El Madrigal try to make their way out after a canister of tear was thrown on to the pitch
Mashabiki wa ndani ya uwanja wa El Madrigal wakitoka nje baada yakurushwa kwa mabomu ya  machozi
Covering up: Stewards and security at the Villarreal match against Celta Vigo try to stop breathing in the tear gas
mwana  usalama wa mechi ya  Villarreal dhidi ya Celta Vigo akijaribu kujikinga na moshi wa mabomu ya machozi
Taking their leave: Fans leave El Madrigal after a canister of tear gas was thrown on to the pitch
Usalama kwanza:Mashabiki wakiondoka katika uwanja wa El Madrigal baada ya  mabomu ya machozi kutupwa juu ya uwanja
Painful: Celta goalkeeper Yoel Rodríguez rubs his eyes after a canister of tear gas was thrown on to the pitch
Chungu :kipa wa Celta  Yoel Rodríguez akifunika macho yake baada ya kurushwa kwa mabomu ya machozi katika uwanja
Flashpoint: Villarreal's forward Jonathan Pereira kicks a smoke bomb thrown onto the pitch at El Madrigal
Mshambuliaji wa Villarreal  Jonathan Pereira akipiga mateke bomu la  moshi lililotupwa kwenye uwanja wa
El Madrigal


Stamp it out: Pereira attempts to extinguish the missile
Teke kule: Pereira akijaribu  kuzima kombora
Smoke
In the smoke: Villarreal's Jonathan Pereira runs to kick a tear gas canister during the match with Celta Vigo at El Madrigal



ANGALIA VIDEO MBILI ZA TUKIO



Post a Comment

0 Comments