Ticker

6/recent/ticker-posts

PICHA NA MATOKEO YA MICHEZO YOTE,PAMOJA NA RECORD MPYA ALIYOIWEKA MESSI BAADA YA KUIVUSHA BARCA KATIKA HATUA YA FAINALI

 Mhariri:Herman Kihwili,IMEWEKWA FEB. 13,2014 SAA 09:41 USIKU
Steven Gerrard celebrates his match-winning penalty
Ligi kuu ya England imeendelea usiku wa kuamkia leo kwa michezo minne kupigwa katika viwanja tofauti,huku macho na
masikio ya wengi yakiwa katika mchezo kati ya timu ya Arsenal ambayo walikuwa wanawakalibisha Manchester United,na katika mchezo huo,ulimalizika kwa sare ya bila kufungana.
Game off: Manchester City's Joe Hart (left) chats with Sunderland's Adam Johnson (centre) and Vito Mannone
Mchezo hakuna: Joe Hart (kushoto) akipiga gumzo na wachezaji wa Sunderland Adam Johnson (katikati) na Vito Mannone
Blustery: A programme booth was blown over earlier in the evening at Manchester City
kibanda kimeanguka baada ya kupigwa na upepo mapema jioni,nje ya uwanja wa Manchester City
Windy: A corner flag at the Etihad Stadium blows over before the match was called off
bendera ya kona katika uwanja Etihad ikipigwa na upepo mkali
Mechi kati ya timu ya Evarton na Crystal Palace  pamoja na Manchester City na Sunderland ziliailishwa kutokana upepo mkali uliosababisha hali ya hewa kuwa mbaya.

Salutes you sir! Emmanuel Adebayor celebrates his opening goal with Brazilian teammates Paulinho
Nakusalimu wewe Mheshimiwa! Emmanuel Adebayor akishangilia baada ya kufunga bao lake na MBrazil  Paulinho     
 
Played
February 12, 2014 7:45 PM GMT
St. James' Park — Newcastle-upon-Tyne
Referee:‬ N. Swarbrick‎
Attendance:‬ 48264‎
 
 
                                                 Emmanuel Adebayor 19′
 
                                                  Paulinho 53′
 
                                                  Emmanuel Adebayor 82′
 
                                                     Nacer Chadli 88′

Can we play you every week? Tottenham manager Tim Sherwood greets Newcastle counterpart Alan Pardew ahead of the game
Meneja wa Tottenham Tim Sherwood na mwenzake wa  Newcastle  Alan Pardew kabla ya mchezo


 
Played
February 12, 2014 8:00 PM GMT
Britannia Stadium — Stoke-on-Trent, Staffordshire
Referee:‬ J. Moss‎
Attendance:‬ 24822‎
 
17′ Peter Crouch
                                                       Chico 52′

All smiles: Stoke striker Peter Crouch (centre) celebrates after putting the Potters ahead against Swansea
Mshambuliaji wa Stoke  Peter Crouch (katikati) akishangilia baada ya kupata bao la kuongoza dhidi ya Swansea
Leveller: Swansea centre back Chico Flores wheels away to celebrate after equalising for Garry Monk's side
Mlinzi wa kati wa Swansea Chico Flores akishangilia bao la kusawazisha

 
Played
February 12, 2014 8:00 PM GMT
Craven Cottage — London
Referee:‬ P. Dowd‎
Attendance:‬ 25375‎
 
8′ (OG) Kolo Toure
                                                     Daniel Sturridge 41′
                                                      Coutinho 72′
 
                                                    Steven Gerrard 90+1′ (PG)
Clincher: Liverpool's Steven Gerrard scores a penalty past Fulham goalkeeper David Stockdale
Steven Gerrard akifunga bao la adhabu ya penalti na kumtesa kipa David Stockdale
Shocker: Simon Mignolet looks on as Kolo Toure scores an own goal
Simon Mignolet ikionekana kushangaa baada ya Kolo Toure kujifunga mwenyewe
Downcast: Kolo Toure looks down after his comical own goal
huzuni: Kolo Toure akionekana kuwa na huzuni baada ya kujifunga mwenyewe
Calamity Kolo: Graphic of Toure's own goal against Fulham
bao la kujifunga la  Kolo Toure lilivyokuwa
Collision: Referee Phil Dowd takes a tumble after clash with Toure
Mgongano: Mwamuzi Phil Dowd akidondoka baada ya mgongano kati yake na Toure
Ouch: Fulham keeper Maarten Stekelenburg had to go off after collision with Liverpool's Luis Suarez
Kipa wa Fulham Maarten Stekelenburg akishauliwa kwenda nje baada ya mgongano na mchezaji wa Liverpool ya Luis Suarez
 
 
Played
February 12, 2014 7:45 PM GMT
Emirates Stadium — London
Referee:‬ M. Clattenburg‎
Attendance:‬ 60021‎
 
Match-winner: Adnan Januzaj should have started the game at the Emirates
Add caption
Giroud sits on the turf at the Emirates
Add caption
 
 Spain - Copa del Rey
Kiongozi: Lionel Messi alitoa Barcelona 1-0 kuongoza dhidi ya Real Sociedad katika Copa del Rey nusu fainali
Lionel Messi ameweza kulingana na mkongwe Telmo Zarra baada ya kufunga jumla ya mabao 335 - na kuwa mchezaji wa kihistoria ambaye amefunga mabao zaidi katika klabu za Uhispania.
Record: Messi equalled Telmo Zarra's (above) record of 335 goals for one Spanish club
Record: Messi analingana na rekodi ya Telmo Zarra (hapo juu) kwa mabao 335 katika klabu za Kihispania

Messi ameweza kuisaidia Barcelona kufika fainali ya Copa del Rey kwa kufunga bao moja Dk.27  katika mchezo ambao ulimalizika kwa matokeo ya 1-1 na kuifanya  Real Sociedad kutolewa kwa jumla ya mabao (agg 3-1) katika nusu fainali yao ya  pili.
Strike: Messi (left) puts Barca into the lead, midway through the first half
Na siku ya jumanne Real Madrid walikuwa wa kwanza kutinga hatua ya fainali kwa kuichapa Atletico Madrid 2-0 na kufanya jumla ya matokeo kuwa 5-0 katika nusu fainali yao ya  pili.
Catalans: Barcelona players celebrate Messi's opening goal against Sociedad
Fainali itakuwa ni kati ya Barcelona na Real Madrid itakayopigwa tarehe 19.04.2014

Unlucky: Pinto (left) just manages to keep out an effort from Carlos Vela (right)

Post a Comment

0 Comments