Mhariri:Herman Kihwili,IMEWEKWA FEB. 18,2014 SAA 11:22 ASUBUHI
Meneja wa England Roy Hodgson amesema ana amini Brazil ambao ni mwenyeji Kombe la Dunia mwaka huu,
watakuwa na
mafanikio licha ya matatizo ya viwanja, uwezo na
maandamano.
Hodgson ambaye yuko katika ziara mjini Manaus nchini Brazil,na ambapo England itakutana na Italia katika mechi yao ya
ufunguzi itakayopingwa uwanja wa Amazonia, lakini kuna hofu kubwa ya uwanja kutomalizika
katika mji wa Curitiba,na inawezekana kuvunjwa.
"Fifa na serikali ya Brazil wanafanya kazi kubwa,"
"Hivyo sioni sababu yoyote kwa sisi kuwa na mashaka na mafundi."alisema Hodgson.
Uwezekanao wa kurudia kwa maandamano ya vurugu ambayo yalifanya kuwe na wasiwasi kwa waandaaji wa Kombe la Shirikisho, lakini Hodgson alisema anaimani na
kamati ya maandalizi.
Uwanja Amazonia,na vingine vitano nya Kombe la Dunia, havikuwa tayari kwa tarehe ya mwisho ya Fifa 31 december 2013,Lakini
katibu mkuu wa Fifa Jerome Valcke alitangaza kuwa alikuwa na furaha na viwanja katika ziara ya mwishoni mwa wiki, na maafisa wanasema ni 97% imekamilika.
Kombe
la Dunia litaanza nchini Brazil tarehe 12 Juni, lakini uwanja wa Sao Paolo
kutokana na kufanyika hatua ya mechi ya ufunguzi ni moja ya maeneo ambayo bado ujenzi uko chini.
Chama cha Soka kimefanya maandalizi ya kina ili kuhakikisha wachezaji England wanauwezo wa kukabiliana na hali, na Hodgson alitaka kujua uzoefu na masharti kabla ya kikosi chake kufika mwezi Juni .
"Ni moto hapa, lakini vikombe Dunia linachezwa katika majira ya joto," alisema kocha huyo mwenye umri wa miaka 66 akiiambia BBC Sport
"Ilikuwa ni moto nchi Afrika Kusini [kwa Kombe la Dunia 2010] na ilikuwa moto sana kule Amerika mwaka '94.
"itakuwa moto hapa [lakini] ni kitu kuja na masharti,na kipi kinachotuvutia kwa sasa,ni kuweza kupata walau kidogo kitu tofauti , zaidi ya hali ya hewa ya kitropiki kaskazini mwa Brazil vis-a-vis Rio , ambapo tumekuwa na tunacheza. "
0 Comments