Mhariri:Herman Kihwili,IMEWEKWA FEB. 11,2014 SAA 09:16 USIKU
Meneja wa Chelsea Jose Mourinho ametoa wito kwa FA kuchukua hatua dhidi ya kiungo wa Manchester City Yaya Toure.
Toure ambaye alikuwa anachunguzwa na FA kama alifanya au 
hakufanya makosa kwa makusudi katika mchezo dhidi ya Norwich siku ya Jumamosi.
hakufanya makosa kwa makusudi katika mchezo dhidi ya Norwich siku ya Jumamosi.
Mchezaji huyo raia wa Ivory
 Coast alionekana akimpiga teke mshambuliaji Ricky van 
Wolfswinkel wakati wenyeji hao wakipotoka sare ya  bila kufungana katika uwanja wa Carrow 
Road, lakini mwamuzi Jonathan Moss hawakuchukua hatua yeyote. 
Wakuu wa FA wanasubiri ripoti rasmi ya Moss lakini  Toure bado anaweza kukosa mechi tatu kwa kupigwa marufuku kwa ajili ya kufanya vurugu uwanjani na kuumiza kama  maafisa wa mechi watakubaliana shitaka hilo. 
Mourinho alisema: "Kama FA inatetea mpira wa miguu, yeye lazima ahusishwe." 
Alipoulizwa
 kama angekuwa  FA angechukua hatua yoyote, Mourinho alijibu: 
"Bila shaka, au ni sawa kwa kila mtu yeyote kwa sasa."
"Kila
 mchezaji anahisi kuwa kama mwamuzi haoni, hawezi kufanya. Haijalishi 
kamera, haijalishi matokeo kwa sababu kama mwamuzi haoni, siwezi kufanya
 hivyo." 
Meneja wa Norwich Chris Hughton pia anaamini tukio hilo linaweza kuwa na thamani sawa na kadi nyekundu. 
Alisema: "alifanya bila kutambuliwa na bila shaka kulikuwa na adhabu."
"Hakika Kulikuwa na kitu, lakini  ilikuwa inatosha kwa kadi nyekundu,  hayo ni maamuzi ya mwamuzi."
 "Iilikuwa ni tukio dogo katika mchezo, na sababu kubwa ilikuwa ni timu nzuri inacheza na sisi."
City wataikalibisha Sunderland katika Ligi Kuu siku ya Jumatano, na Chelsea katika 
Kombe la FA siku ya Jumamosi, na watakabiliana na Stoke  mwishoni mwa weekend ijayo. 
0 Comments