Mhariri:Herman Kihwili,IMEWEKWA FEB. 11,2014 SAA 03:11 USIKU
Uongozi wa klabu ya simba umekiri kupokea barua kutoka katika shirikisho la soka Duniani FIFA,ikieleza kuwa imepata vielelezo
vyote kutoka klabu ya Étoile du Sahel ya Tunisia kuhusiana na
swala la mchezaji Okwi.
Uongozi wa klabu ya simba umekiri kupokea barua kutoka katika shirikisho la soka Duniani FIFA,ikieleza kuwa imepata vielelezo
vyote kutoka klabu ya Étoile du Sahel ya Tunisia kuhusiana na
swala la mchezaji Okwi.
Akizungumza na Jamii na Michezo mwenyekiti wa klabu hiyo Ismail Aden Rage amesema katika vielezo hivyo Étoile du Sahel wamekiri kutowalipa Simba hata shilingi moja,kutokana na tatizo la kusafirisha fedha.
Na katika vielelezo hivyo pia,klabu ya Étoile du Sahel,imeshukuru kuongezewa muda wa malipo kutoka Februari mpaka septemba mwaka huu.
BONYEZA PLAY KUMSIKILIZA RAGE

0 Comments