Mhariri:Herman Kihwili,IMEWEKWA FEB. 12,2014 SAA 07:51 USIKU
Kuelekea katika fainali za kombe 
la dunia nchi Blazil,shirikisho la mpira Tanzania limesema kuwa maombi 
ya Tiketi kwa watanzania 
wanaotaka kuangalia baadhi ya mechi
yamefungwa,na kusema kuwa sasa ni zamu ya FIFA kuweza kupitisha maombi 
hayo.
BOFYA HAPO CHINI KUSIKILIZA ZAIDI  
 
0 Comments