Ticker

6/recent/ticker-posts

AUDIO:HII NI TAARIFA YA WALE AMBAO BADO WANAHITAJI TIKETI ZA KOMBE LA DUNIA NCHINI BRAZIL

Mhariri:Herman Kihwili,IMEWEKWA FEB. 12,2014 SAA 07:51 USIKU
Kuelekea katika fainali za kombe la dunia nchi Blazil,shirikisho la mpira Tanzania limesema kuwa maombi ya Tiketi kwa watanzania
wanaotaka kuangalia baadhi ya mechi yamefungwa,na kusema kuwa sasa ni zamu ya FIFA kuweza kupitisha maombi hayo.

BOFYA HAPO CHINI KUSIKILIZA ZAIDI

Post a Comment

0 Comments