Ticker

6/recent/ticker-posts

GARETH BALE ,NJE TENA

 Mhariri:Herman Kihwili,IMEWEKWA JANU. 28,2014 SAA 07:45 USIKU
Substituted: Bale was taken off at half-time against Granada due yto his latest injury concern
Gareth Bale atakosa mechi ya Kombe la Mfalme ya robo fainali ya pili siku ya Jumanne watakapokuwa nyumbani wakipambana na timu ya 
Espanyol kutokana na tatizo la kuumia kwa mguu wake wa kushoto, kocha Carlo Ancelotti alisema siku ya Jumatatu.

Bale ambaye alianza katika mechi tatu zilizopita za Madrid, alibadilishwa katika kipindi cha pili siku ya Jumamosi kabla ya kuanza kusikia maaumivu mapema tu katika kipindi cha kwanza walipoibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya Granada katika uwanja wa Bernabeu.
Injured: Gareth Bale will miss Real Madrid's Copa del Rey quarter-final second leg with Espanyol
Kujeruhiwa: Gareth Bale atakosa mechi ya Copa del Rey ya robo fainali ya pili kutokana na kuumia mguu wakati Real Madrid watakapopamba na Espanyol
Ouch: Bale was clattered in the groin during Saturday's 2-0 win over Granada at the Bernabeu
Ouch: Bale aliumia katika maungiao ya mguu wake ,katika mchezo ambao walishinda mabao 2-0 dhidi Granada katika uwanja wa Bernabeu siku ya Jumamosi
Nyota huyo wa kimataifa,ameharibiwa msimu wake kutokana na majeraha madogo madogo tangu uhamisho wake ambao uliweka rekodi akitokea katika klabu ya Tottenham Hotspur mwaka jana.

Ancelotti alisema hawezi kutoa mafunzo kwa mchezaji huyo aliye mapumziko siku ya Jumatatu. 
 
"Yeye hana tatizo na sehemu zake za siri,zinalipa vizuri , (akitania kwa lugha ya Italia),Lakini  hayuko vizuri na mguu wake wa kushoto utaathiri usawa wake kidogo."

"Alijaribu kufanya mazoezi lakini yeye hayuko vizuri na tunaepuka kuuweka mchezo wa jumapili katika hatari,na ndio maana nikampumzisha ," alisema Ancelotti akimaanisha ratiba ya ligi kuu na kuwa nafasi ya nne  chini ya Athletic Bilbao. 
Follow me: Cristiano Ronaldo and his Croatian teammate Luka Modric (front) warm up during their training session
Nifuateni mimi, Cristiano Ronaldo na  Luka Modric (mbele) wakifanya mazoezi
Real wanafaida ya goli 1-0 zaidi ya Espanyol kutokana na mechi ya kwanza iliyopingwa katika uwanja wa Estadi Cornella-El Prat

Post a Comment

0 Comments