Ticker

6/recent/ticker-posts

TAARIFA YA MKATABA MPYA WA KOCHA WA GARETH BALE

Mhariri:Herman Kihwili.IMEWEKWA NOVEMBA 13.2013 SAA 02:56 USIKU 

Chris Coleman amesaini mkataba wa kubaki katika klabu ya Wales mpaka kuanza kwa kampeni za kufuzu katika mashindano ya Euro 2016,BBC  nchini Wales wameeleza.
Kocha huyo mwenye umri wa miaka 43 anaaminika amesaini miaka miwili na Chama cha soka cha Wales, na kukomesha uvumi  kuhusu
mustakabali wa Coleman ziliongezeka baada ya kuahirishwa kwa mkutano wa waandishi wa habari wiki iliyopita uliokuwa umelenga kutaja kikosi kitakachovaana na Finland, huku maafisa wa Wales wakisema kuwa wamejadiliana na Chris na kuamua kuwa watataja kikosi hicho kwa njia ya barua pepe.
Coleman kuthibitisha yeye ataendelea kukaa Wales katika mkutano wa vyombo vya habari huko Cardiff,na alielezwa kupigiwa pande kuziba nafasi iliyo wazi kwenye timu ya Crystal Palace.

Post a Comment

0 Comments