Ticker

6/recent/ticker-posts

MALAWI MACHO YOTE KWA KUCHA MPYA IFIKAPO JANUARI,BAADA MUDA WA KOCHA WA ZAMANI WA YANGA KUFIKA KIKOMAO

Mhariri:Herman Kihwili.IMEWEKWA NOVEMBA 19.2013 SAA 12:05 JIONI
Timu ya Malawi inaweza kuwa na kocha mpya na maazimio mapya  mnamo mwezi Januari kufuati makubaliano ambayo Chama cha
Soka cha Malawi (FAM) walikubaliana wakati wa mkutano mkuu wa mwaka (AGM) uliofanyika katika Wilaya ya Kati Mkoa wa Salima siku ya Jumamosi.
Mkutano Mkuu pia walikubaliana kwamba kufuzu kwa Kombe la Mataifa 2015  ni lazima kama lengo kuu kwa kocha ajaye ambaye atateliwa sasa na kukabidhiwa katika mikono ya kamati ndogo ya kiufundi ya FAM, badala ya kuwashirikisha watendaji wote wa FAM, kwa mujibu wa vyombo vya habari vya ndani.
kamati ndogo itakuwa orotha fupi ya  majina ya makocha kwa ajili ya mahojiano na kocha mpya anatarajiw kutajwa mwezi Januari, wanachama wa mkutano mkuu wamebainisha. 
Nafasi ya kazi ya kufundisha ya  kocha wa Malawi iko wazi kufuatia mwisho wa kocha wa kijitolea Mbelgiji Tom Saintfeit mbaye aliomba Miezi miwili ya kufundisha.

Post a Comment

0 Comments