Wakazi wa kijiji cha Makunga mjini Kitale, kaunti ya Trans Nzoia nchini Kenya,
waliamua kuchukua sheria mikononi mwao kwa
kusitisha kero za walevi katika
kaunti hiyo.Wenyeji hao walizua vurugu na kutoa kichapo kwa wahusika,huku maafisa wa polisi walilazimika kuingilia kati kutuliza hali hiyo.
VIDEO YA TUKIO KUTOKA K24 TV
0 Comments