Ticker

6/recent/ticker-posts

WEST BROM WAMSAINI VICTOR ANICHEBE NA STEPHANE SESSEGNON

Mhariri:Herman Kihwili,IMEWEKWA SEPT 3,2013 SAA 10:20 USIKU   

West Brom imemsaini mchezaji wa Sunderland, Stephane Sessegnon kwa rekodi   ada ya klabu,pamoja na mshambuliaji wa Everton Victor Anichebe kwa ada ambayo inaweza kuongezeka hadi £ 6m.

Sessegnon mwenye umri wa miaka 29 ambaye ni raia wa Benin,amekuwa akiitajika kwa ziada,baada ya Sunderland kumsaini Fabio Borini kwa mkopo kutoka katika klabu ya Liverpool. 

Stephane Sessegnon Alijiunga na Sunderland kutoka Paris St-Germain mwaka 2011, na West Brom wanasema ada waliyopewa inapita £ 6.5

Na mchezaji wa kimataifa wa Nigeria Victor Anichebe mwenye umri wa miaka 25,ambaye ameitumikia Everton kwa mida mrefu kwani toka 2006,na amefunga mabao 26 katika mechi 168.

Post a Comment

0 Comments