Ticker

6/recent/ticker-posts

BAADA YA KUWAKASIRISHA KATIKA UEFA SUPER CUP,CHELSEA WAMPELEKA LUKAKU KWA MKOPO KATIKA KLABU YA EVARTON

Mhariri:Herman Kihwili,IMEWEKWA SEPT 3,2013 SAA 9:00 USIKU
Romelu Lukaku atatumikia misimu miwili kwa mkopo katika klabu ya Evarton inayoshiriki Ligi Kuu ya Barclays, baada ya mpango wake kukamilika.

Mshambuliaji  huyo mwenye umri wa mika 20 atakuwa ndani ya
Goodison Park kufuatia mwaka wamafanikio yake makubwa katika  katika klabu ya West Bromwich Albion,baada ya kushiriki michezo 38 na alifunga mabao 17,na kuwa mfungaji bora kijana  katika Ligi Kuu tangu alipokuwa Michael Owen mwaka 1998 / 99.
Lukaku, ambaye ameitwa katika kikosi cha Ubelgiji kitakachocheza  mchuano wa kufuzu kombe la Dunia dhidi ya Scotland siku ya  Ijumaa,na amecheza mara chache akiwa na Chelsea mwanzoni mwa msimu huu,tangu alipojiunga  kutoka Anderlecht katika majira ya joto mnamo mwaka 2011.

Post a Comment

0 Comments