IMEWEKWA SEPT 2 ,2013 SAA 1:00 USIKU
Michuano ya mpira wa kikapu kwa timu za
Dar es salaam inayodhaminiwa na Tanzania Marketing Communication na
kuratiiwa na Shirikisho la mpira a kikapu Tanzania (TBF) ambayo yalikuwa yanafanyika katika viwanja vya shule ya Sekondari zanaki,yamemalizika siku ya jumapili ya tarehe 1 Sept.2013 kwa timu ya Oilers kuibuka na ushindi baada ya kuichapa timu ya Jkt kwa alama78 dhidi ya 69,lakini Lusajo Samwel wa timu ya Oilers ndiye aliyekuwa MVP.
 |
| Mcho yote juu ya mpira hapo |
Katika mchezo wa kutafuta mashindi wa tatu,kulikuwa ni kati ya t
imu ya Jogoo na timu ya Chui,ambapo timu ya Jogoo,imeibuka mshindi baada ya kuichapa chui kwa alama 68 dhidi ya 58.
Shilingi laki 5 zimeenda kwa Oilers kwa sababu ni mshindi wa kwanza,mshindi wa pili Jkt wao wamepata shilingi laki 3,na Jogoo ambao ni washindi wa tatu wao wamepata shilingi laki 2.
 |
| Mchezo ndio unaanza sasa. |
 |
| Maelikezo kidogo"songa mbele" |
 |
| juu kwa juuuuuu! |
 |
| Alama point muhimu sana. |
 |
| Isakwasa Mwakansope |
 |
| huoooo! |
 |
| Maelekezo kidogo |
 |
| Usiku huuu,unaingia |
 |
| Mpaka kieleweke hapa |
 |
| Mwisho wa mchezo:Jkt 69 na Oilers 78 |
 |
| Vikombe ndio hivyo tena ,vinasubiri mwenye chake |
 |
| Muwakilishi wa mshini wa Tatu,ombao ni timu ya jogoo |
 |
| Mwaaaa! ,muwakilihi wa timu ya Jkt ambao ni washindi wa pili |
 |
| MVP Lusajo Samwel |
 |
| Picha ya pamoja na kikosi cha timu ya Jkt |
 |
| Kuhakiki:Mambo ya fedha |
 |
| Picha ya pamoja na kikosi cha timu ya Oilers |
 |
| Nyuso za furaha:Hongereni sana vijana wa Oilers |
Mashindano haya yalianza rasmi siku ya ijumaa ya Tarehe 25 August 2013,na yalishirikisha Timu nane Kutoka pande mbali mbali za Jiji la DAR
ES SALAAM,na Timu hizo ziligawanywa katika makundi mawili, yaani KUNDI A NA KUNDI
B.
0 Comments