Ticker

6/recent/ticker-posts

MICHUANO YA MPIRA WA KIKAPU YAZIDI KUSHIKA KASI

Picha za michuano ya mpira wa kikapu kwa timu za Dar es salaam inayodhaminiwa na Tanzania Marketing Communication na kuratibiwa na Shirikisho la mpira a kikapu Tanzania (TBF) ambayo inafanyika katika viwanja vya shule ya Sekondari zanaki,mashindano haya yalianza rasmi ijumaa ya Tarehe 25 August 2013,na yanatarajia kumalizika siku ya jumapili ya tarehe 1 septemba 2013.

PICHA HIZI ZIMEPIGWA SIKU JUMATATU YA TAREHE 26 AUG.2013
Mashindano hayo yanashirikisha Timu nane Kutoka pande mbali mbali za Jiji  la DAR ES SALAAM.Timu hizo zimegawanyika katika makundi mawili,KUNDI A NA KUNDI B.

Post a Comment

0 Comments