Kipindi cha Jose Mourinho akiwa na wasiwawasi,hakika kila mtu atajua kuhusu hilo, wachezaji, viongozi na mashabiki 40,000 ndani ya Stamford Bridge watashuhudia tukio hilo.Na hayo yameshuhudiwa hapo jana,baada ya timu ya Chelsea kuibuka na ushindi wa mabao 2 kwa 1 dhidi ya Aston villa
![]() | |||||
Eden Hazardakishangilia bao la kwanza la Chelsea lililosababishwa na yeye,lakini limefungwa na mchezaji wa Aston Villa Antonio Luna. |
![]() |
Point tatu muhumu:Chelsea wakisheherekea baada ya ushindi |
Bao la kwanza la Chelsea lilipatikana baada ya mchezaji wa timu ya Aston villa Antonio luna kujifunga mwenyewe kwa bahati mbaya katika harakati za kuokoa mpira uliopigwa na Eden Hazard dakika ya 6 tu ya kipindi cha kwanza,lakini goli hilo lilisawazishwa katika dakika ya 45 na Mshambuliaji wa Aston Villa Christian Benteke.
![]() | |||||
Christian Benteke akisheherekea baada ya kusawazisha bao la kwanza klabla ya Chelsea kuibuka na ushindi,na chini kocha bosi wa Villa Paulo Lambert,ikishangilia bao hilo |
![]() |
Nguvu zaidi inatumika:Ivanovic akionyesha ishara ya ushindi |
Alikuwa ni Branislav Ivanovic ndiye aliyeiwezesha Chelsea kuweza kumfanya Jose Mourinho na mashabiki kuondoka na furaha baada ya kupata goli safi kwa kichwa ndani ya dakika 73 na kuweka wasiwasi kando baada ya dakika 90 kukamilika.
![]() |
Jose Mourinho muda mwingi alikuwa akizozana na
|
kikosi cha Chelsea:
Cech 7, Ivanovic 6, 7 Cahill, Terry 8, Cole 6, Ramires 6, Lampard 6,
Oscar 6 (van Ginkel 84), Mata 6 (Schurrle 65), UN ya 7, Ba 4 (Lukaku
65).
AKIBA: Mikel, De Bruyne, Schwarzer, Azpilicueta. KADI: Ivanovic
wafungaji: Luna (og) 7, Ivanovic 73.
kikosi cha Aston Villa: Guzan 6, Lowton 6, Vlaar 7, Clark 6 (Okore 43), Luna 7, El Ahmadi 7 (Tonev 82), Westwood 7, Delph 7, Weimann 6, Benteke 7, Agbonlahor 7.
AKIBA: Bennt, Bacuna, Helenius, Bad, Sylla.
KADI: El Ahmadi, Westwood, Benteke
mfungaji: Benteke 45
Mahudhurio: 41,527
Mwamuzi: Kevin Friend
![]() |
Macho juu ya mpira: Ivanovic karibu na Benteke |
0 Comments