Ticker

6/recent/ticker-posts

Haji Manara-Mashabiki wa Simba Sc Onesheni uungwana/Okwi atarudi Uganda/Kipa Dida naye afunguka

 Mhariri:Herman Kihwili. IMEWEKWA 07,SEPT.2018 SAA 03:30 USIKU

Uongozi wa klabu ya Simba umewataka mashabiki wake na watanzania kwa ujumla kuipa sapoti Taifa Stars ambayo inacheza
kesho dhidi ya Uganda kuwania tiketi ya kufuzu kuelekea AFCON 2019.
  Kwa mujibu wa Ofisa Habari wake, Haji Manara, amesema watanzania wote wanapaswa kuwa kitu kimoja kwa kuonesha utaifa na uzalendo kwa Stars ambayo itakuwa inaiwakilisha nchi. 

 Aidha, Manara amesema atawashangaa mashabiki baadhi wa Simba ambao wataipa sapoti Uganda kutokana na kuondolewa kwa wachezaji wake 6 kwenye kikosi cha Stars kutokana na kuchelewa kufika kambini akieleza kuwa ni sababu ambayo haina maana. Mungu Ibariki Tanzania.

 Mungu Ibariki Taifa Stars.

BOFYA CHINI KUSIKILIZA


..

KWA TAARIFA,BREAKING NEWS,RATIBA PAMOJA NA MATOKEO YA MECHI MBALIMBALI,LIKE PAGE YA FACEBOOK  BONYEZA HAPA (Jamii na Michezo),na instagram- kihwiliupdates

Post a Comment

0 Comments