Ticker

6/recent/ticker-posts

RASMI POGBA AZUNGUMZA KWA MARA YA KWANZA BAADA YA KUTUA MANCHESTER UNITED

 Mhariri:Herman Kihwili. IMEWEKWA.AUG 9,2016 SAA 11:19 JIONI
Paul Pogba anasema hana shaka na maendeleo yake akiwa nje na ndani ya uwanja chini ya Kocha wa Manchester
United Jose Mourinho.

Pogba hii leo siku ya Jumanne kakamilika rekodi ya dunia ya uhamisho wa £ 89m kutoka Juventus kwenda Manchester United, Kiungo huyo wa kati amerejea miaka minne baada ya kuondoka United na kwenda Juventus kwa £1.5m mwaka 2012.

Pogba mwenye umri wa miaka 23 alisema hana shaka na Mourinho na ni mtu mzuri kwa kusaidia wachezaji

Niliongea na wachezaji wengi wakati akiwa Madrid," "nilizungumza na (Alvaro) Morata, (Raphael) Varane Na wote waliniambia kuwa ni kocha kwa ajili yangu, ataboresha mengi, kwa sababu yeye hufanya kazi kwa bidii.
Pogba signed a five-year contract on Tuesday

Paul Pogba anasema huu "ndio wakati bora zaidi wa kurejea Old Trafford" na kwa sasa afikiria atavyocheza uwanjani na jinsi ya kushinda mataji na kuwa bora.



Pogba alicheza mechi saba wakati akiichezea kwa mara ya kwanza akiwa United na kusaidia klabu hiyo katika kikosi cha chini ya U18 kunyakuwa FA Cup ya Vijana mwaka 2011.


KWA TAARIFA,BREAKING NEWS,RATIBA PAMOJA NA MATOKEO YA MECHI MBALIMBALI,LIKE PAGE YA FACEBOOK  BONYEZA HAPA (Jamii na Michezo)

Post a Comment

0 Comments