Ticker

6/recent/ticker-posts

PICHA:ANGALIA YANGA SC ILIVYOCHOMOKA NA USHINDI DHIDI YA MO BEJAIA

Mhariri:Herman Kihwili. IMEWEKWA.AUG 13,2016 SAA 01:29 USIKU

Kikosi cha Yanga hii Leo kimefanikiwa kuchomoka na ushindi wa Bao 1 kwa 0 dhidi  ya Mo Bejaia ya Algeria katika mchezo wa
Kombe la Shirikisho uliopigwa katika dimba la Uwanja wa Taifa Jijini Dar es salaam.
Kikosi cha Yanga
Kikosi cha Mo Bejaia ya Algeria

Mshambuliaji wa kimataifa wa Burundi, Amissi Tambwe ndiye aliyefunga bao hilo dakika ya 4 ya kipindi cha kwanza. 
Huo ni ushindi wa kwanza baada ya mechi tano, ambapo sasa Yanga wamefikisha pointi nne baada ya awali kufungwa mechi tatu na kutoa sare moja lakini bado wana endelea kushika mkia katika Kundi A.

KWA TAARIFA,BREAKING NEWS,RATIBA PAMOJA NA MATOKEO YA MECHI MBALIMBALI,LIKE PAGE YA FACEBOOK  BONYEZA HAPA (Jamii na Michezo)


Post a Comment

0 Comments