Mhariri:Herman Kihwili. IMEWEKWA.AUG 8,2016 SAA 02:10 USIKU
Klabu
ya Simba hii Leo 8 Aug,2016 imeazimisha miaka 80 tangu kuanzishwa kwake kwa
kuifunga timu ya AFC Leopards mabao 4 -0
katika mchezo wa kirafiki uliopigwa katika uwanja
wa Taifa Jijini Dar es Salaam.
Simba
ambao walianza na mchakato walioupa jina la Simba wiki,walianza kwa Azimio la
kufanya usafi siku ya jumamosi ambapo ni sehemu ya kukamilisha shughuli za Simba wiki ambazo
zilitangazwa na uongozi wa klabu hiyo kupitai raisi wake Evance Aveva.
![]() |
| Kikosi cha Simba Leo |
![]() |
| kikosi Cha AFC Leopards leo |
Mabao
ya Simba katika mchezo huo wa Simba Day yalifungwa na Ibrahim Ajibu ambaye alifunga
mabao mawili,dakika ya 38 na kipindi cha pili dakika ya 11.
Kipindi
cha pili Katika dakika ya 21 mchezaji mpya Shiza Kichuya alipachika bao la 3 la Simba na Bao
la 4 lilifungwa na mchezaji mpya pia Laudet Mavugo Dakika ya 36 ya kipindi hiko cha pili.
ANGALIA PICHA















0 Comments