Ticker

6/recent/ticker-posts

HUU NI MUENDELEZO WA KESI YA JOSE MOURINHO NA DAKTARI EVE CARNEIRO

 Mhariri:Herman Kihwili. IMEWEKWA.Jun 7,2016 SAA 11:56 JIONI
Carneiro and Jose Mourinho clashed on the touchline after Eden Hazard received treatment against Swansea
Leo  siku ya Jumanne kocha mpya wa klabu ya Manchester United Jose Mourinho, imefika katika mahakama ya ajira,
kusikiliza kesi iliyofunguliwa na Daktari wa zamani wa Chelsea  Eva Carneiro , meneja huyo wa zamani wa Chelsea alifika kusikiliza madai dhidi yake,na klabu ya Chelsea.

Pande zote mbili zimekubaliana kumaliza kesi hiyo.


Carneiro ameishtaki Chelsea kwa kumfuta kazi na kukiuka masharti ya mkataba wa kazi. Kuna pia kesi tofauti dhidi ya Mourinho ya madai ya ubaguzi.

Mourinho - ambaye alikuwa bado hajahudhuria kesi hiyo - aliwasili katika mahakama majira ya saa saba mchana wa leo Jumanne, pamoja na mwenyekiti Chelsea, Bruce Buck.
Carneiro's employment tribunal case against Chelsea is continuing in Croydon
Kesi alitakiwa kuanza saa 8 mchana kamili , lakini ikachelewa kufuatia kuwasili kwa Mourinho.
KWA TAARIFA,BREAKING NEWS,RATIBA PAMOJA NA MATOKEO YA MECHI MBALIMBALI,LIKE PAGE YA FACEBOOK  BONYEZA HAPA (Jamii na Michezo) .

Post a Comment

0 Comments