Ticker

6/recent/ticker-posts

HILI NDIO AGIZO LA TFF KWA RAMADHANI SINGANO 'MESSI' NA KLABU YA SIMBA

Mhariri:Herman Kihwili. IMEWEKWA.Jun 5,2015 SAA 09:25 ALASIRI
Displaying e86561a7-f30b-4cc9-a5ed-c3ab9f0487b2.jpg
TFF imepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za mgogoro wa kimkataba kati ya Mchezaji Ramadhani Singano wa klabu ya Simba.

TFF imeagiza mwakilishi wa klabu ya Simba pamoja na mchezaji wa Simba wafike ofisi za TFF siku ya Jumanne tarehe 09/06/2015 kwa mazungumzo.

Kila upande umetakiwa uje na vielelezo vyake. 

Katika kipindi hiki cha kuelekea kwenye mazungumzo,TFF inaziasa pande zote mbili zijiepushe na kutoa matamko yanayoweza kuchochea hali ya kutoelewana na kuamsha hisia mbaya katika familia ya mpira wa Miguu Tanzania.


KWA TAARIFA,BREAKING NEWS,RATIBA PAMOJA NA MATOKEO YA MECHI MBALIMBALI,LIKE PAGE YA FACEBOOK  BONYEZA HAPA (Jamii na Michezo) 

Post a Comment

0 Comments