Ticker

6/recent/ticker-posts

AUDIO: SERIKALI TANZANIA YAONGELEA SWALA LA SEPP BLATTER KUJIUZURU KWA MADAI YA RUSHWA..sikiliza...


Mhariri:Herman Kihwili. IMEWEKWA.Jun 4,2015 SAA 01:10 USIKU
Selikali ya Tanzania imezungumzia swala la Kashfa ya rushwa kwa Shirikisho la Soka Duniani FIFA,kulikopelekea Rais wa FIFA
Sepp Blatter kuamua kutangaza kujiuzulu,ili kupisha uchunguzi.

Mbunge wa Jimbo la Sumve Mh.Richard Ndasa alimuuliza Naibu Waziri wa Michezo Tanzania Juma Nkamia kwamba nini Tamko la Serikali juu ya Kadhia hiyo kwani Tanzania ni Mwanachama wa FIFA.

SIKILIZA HAPO CHINI
 KWA TAARIFA,BREAKING NEWS,RATIBA PAMOJA NA MATOKEO YA MECHI MBALIMBALI,LIKE PAGE YA FACEBOOK  BONYEZA HAPA (Jamii na Michezo) 

Post a Comment

0 Comments