mchezo wa Ligi kuu Tanzania Bara,mchezo uliopigwa katika uwanja wa Taifa Jijini Dar es salaam.
Katika Mchezo huo Azam FC ilipata pigo kwa mchezaji wake Salum Abubakari ‘Sure Boy’ kulambwa kadi nyekundu kwa kumkanyaga Mohammed Hussein.
Katika mechi hiyo Simba ilifanikiwa kupata bao lake la kwanza kupitia Ibrahim Ajibu, lakini Azam FC wakasawazisha mapema katika kipindi cha pili kupitia Mudathir Yahaya.
Ramadhani Singano ‘Messi’ alifunga bao kwa mkwaju aliouchonga kutoka nje ya 18.
ANGALIA PICHA ZA MCHEZO
KWA TAARIFA,BREAKING NEWS,RATIBA PAMOJA NA MATOKEO YA MECHI MBALIMBALI,LIKE PAGE YA FACEBOOK BONYEZA HAPA (Jamii na Michezo) .

























































0 Comments