Ticker

6/recent/ticker-posts

PICHA:ANGALIA MATOKEO NA PICHA ZA MASHINDANO YA KIKAPU YA MAJIJI AFRIKA MASHARIKI NA KATI

Mhariri:Herman Kihwili. IMEWEKWA.May .28,2015 SAA 04:40 USIKU

Michuano ya mpira wa kikapu ya majiji ya Afrika Mashariki na Kati (East & Central Africa Inter-Cities Basketball Championship)
yameanza  Mei 27 kwenye uwanja wa Taifa wa ndani (In-door Stadium) na yanatarajiwa kumalizika Mei 31 mwaka huu.

Angalia Matokeo ya Leo 28th May..

1st Game: Qardo 81 vs Tanga 62...mpaka half time Qardo 34, Tanga 33..

 2nd Game...Ladies..Dar City 42 vs Nairobi 83...mpaka half time Dar City 20, Nairobi City 50.

3rd Gamr: Dar Stars 88 vs Mbeya 46...Mpaka half time Dar Star 38,Mbeya City 26.


4th and Last game:Final results, Full TimeimeCairo 114, MOG 62..

ANGALIA PICHA ZA MBALIMBALI










KWA TAARIFA,BREAKING NEWS,RATIBA PAMOJA NA MATOKEO YA MECHI MBALIMBALI,LIKE PAGE YA FACEBOOK  BONYEZA HAPA (Jamii na Michezo) 

Post a Comment

0 Comments