Ticker

6/recent/ticker-posts

AUDIO:MSIKILIZE HANS POPPE AKIZUNGUMZIA SWALA LA MKATABA WA RAMADHANI SINGANO "MESSI"

Mhariri:Herman Kihwili. IMEWEKWA.May .28,2015 SAA 04:12 USIKU
Moja ya ishu kubwa katika taarifa za michezo tanzania ni kuhusu kiungo wa simba Ramadhani Singano ‘Messi’ kulalamika kwamba
Simba wamecheza mchezo na kumuongezea mwaka mmoja kwenye mkataba wake ulio TFF,ndio kumefanya Jamii na Michezo kumtafuta Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba Zacharia Hans Poppe ili aweze kujibu Shutma hizo.

Zacharia Hans Poppe amezungumzia swala hilo la Messi, lakini kwanza akitoa taarifa juu ya usajili wa mabeki wawili wa Kizanzibari, Samir Hajji Nuhu wa kushoto na Mohammed Fakhi wa kati.

MSIKILIZE HAPO CHINI

 KWA TAARIFA,BREAKING NEWS,RATIBA PAMOJA NA MATOKEO YA MECHI MBALIMBALI,LIKE PAGE YA FACEBOOK  BONYEZA HAPA (Jamii na Michezo) 

Post a Comment

0 Comments