Mashindano ya mpira wa kikapu ya majiji yanatarajiwa kuanza kutimua vumbi hapo kesho May 27 katika uwanja wa
ndani wa Taifa jijini Dar es salaam na kumalizika siku ya Jumapili Tarehe 30 mwezi huu.
ndani wa Taifa jijini Dar es salaam na kumalizika siku ya Jumapili Tarehe 30 mwezi huu.
Mashindano hayo yanahusiha majiji mbalimbali kutoka Afrika
Jamii na Michezo imezungumza na wachezaji wa Timu kutoka Tanzania ya Dar City Murshid Mudricat pamoja na Nahodha wa timu hiyo,kujua maandalizi yao.
BONYEZA PLAY KUSIKILIZA
BONYEZA PLAY KUSIKILIZA
BONYEZA PLAY KUSIKILIZA

0 Comments