Ticker

6/recent/ticker-posts

AUDIO:YANGA WAMPELEKA KAMATI YA MAADILI FRANCIS KASWAHILI,MWENYEWE AJIBU UCHAGUZI UKO PALE PALE,msikilize hapa...

Mhariri:Herman Kihwili. IMEWEKWA.May .16,2015 SAA 12:40 JIONI
Uongozi wa Klabu ya Yanga hii leo Umekanusha taarifa za kuitisha Uchaguzi mkuu mnamo tarehe 12 Julay 2015,Francis
Kaswahili ambaye alijitambulisha kuwa ni katibu wa kamati ya Uchaguzi wa Yanga aliitisha uchaguzi huo na kusema fomu za kugombea zitaanza kutolewa kesho May 17 mwaka huu.
Katibu mkuu wa Yanga Jonas Tiboroha akizungumza hii leo katika makao makuu ya klabu hiyo

Katibu mkuu wa Yanga Jonas Tiboroha amesema watampeleka katika kamati ya Maadili ya Tff Bwana Francis Kaswahili Ili kuweza kumchukulia Hatua.

MSIKILIZE KATIBU WA YANGA JONAS TIBOROHA



 Naye Francis Kaswahili Mwenyewe amesema kuwa kwa kuwa wamempeleka katika ya maadili,kwa sasa anasubili kisha atatoa tamko lake,ila uchaguzi uko pale pale.


MSIKILIZE FRANCIS KASWAHILI

 KWA TAARIFA,BREAKING NEWS,RATIBA PAMOJA NA MATOKEO YA MECHI MBALIMBALI,LIKE PAGE YA FACEBOOK  BONYEZA HAPA (Jamii na Michezo) 

Post a Comment

0 Comments