Ticker

6/recent/ticker-posts

AUDIO:SIKILIZA WALICHOKISEMA YANGA BAADA NGASSA KUSAJILIWA AFRIKA KUSINI, HANS POPPE KUHUSIANA NA KOPUNOVIC,SAFARI YA TAIFA STARS,MASHINDANO YA KIKAPU NA WALICHOKISEMA PEP GUARDIOLA NA KOCHA WA QPR CHRIS RAMSEY

Mhariri:Herman Kihwili. IMEWEKWA.May .12,2015 SAA 4:00 USIKU
Sikiliza taarifa za kimichezo kwa njia ya sauti,

1.Utasikia Taarifa ya ya klabu ya Yanga ambayo wamemtakia kila la kheri Aliyekuwa mshambuliaji wao Mrisho Ngassa baada ya
kujiunga na klabu ya Free State Stars ya Ligi Kuu ya Afrika Kusini kwa makataba wa miaka 4.

2.Mwenyekiti wa kamati ya Usajili wa Simba Zacharia Hans Poppe amezungumza kuhusu kuachwa kwa wachezaji wao wa Tatu, Waganda, Simon na Dan Sserunkuma pamoja na Joseph Owino huku Kocha wao Goran Kopunovic ambaye akitaka mkataba Mnono.

3.Taarifa nyingine ni Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kesho jumatano inatarajiwa kusafiri kuelekea nchini Afrika Kusini kwa ajili ya kushiriki michuano ya kombe la COSAFA.

4.Pia kuna Taarifa ya mashindano ya mpira wa kikapu Klabu bingwa Taifa

KATIKA ANGA ZA KIMATAIFA 

1.NI NUSU FAINALI YA PILI LIGI YA MABINGWA,KOCHA WA BAYERN MUNICH AMEZUNGUMZA JUU YA MECHI YA LEO DHIDI YA BARCA



SIKILIZA HAPA



 KWA TAARIFA,BREAKING NEWS,RATIBA PAMOJA NA MATOKEO YA MECHI MBALIMBALI,LIKE PAGE YA FACEBOOK  BONYEZA HAPA (Jamii na Michezo) .

Post a Comment

0 Comments