![]() | |
|
Shirikisho la soka Tanzania kupitia kwa Raisi wake Jamali Malinzi kimemuunga mkono Joseph Sepp Blatter katika uchaguzi wa Fifa.
Katika mkutano mkuu wa Caf uliofanyika Mwaka Jana Jijini Sao Paul Brazil,wanachama wote wa Caf walimuunga mkono Rais wa sasa wa Fifa anayetetea nafasi yake katika uchanguzi utakaofanyika mei mwaka huu jijini Zurich Uswisi.
Jamii na michezo imeamua kuvuka maji mpaka visiwani Zanzibar na kukutana na raisi wa chama cha mpira visiwani humo,Ravia Idarous ambapo amezungumza juu ya ushirikishwaji wao katika katika maswala ya soka ikiwa wao wako cchini ya Tff.
MSIKILIZE
MSIKILIZE
KWA TAARIFA,BREAKING NEWS,RATIBA PAMOJA NA MATOKEO YA MECHI MBALIMBALI,LIKE PAGE YA FACEBOOK BONYEZA HAPA (Jamii na Michezo) .

0 Comments