Sunderland imemfukuza kazi meneja wake Gus Poyet baada ya kushinda mechi moja tu kati ya 12 zilizopita za Ligi Kuu ya
England.
England.
Poyet amekutana na mkurugenzi mkuu Margaret Brrne pamoja na wajumbe wengine wa bodi baada ya mazoezi siku ya Jumatatu,na kuambiwa kuwa muda wake ulikuwa hadi baada ya miezi chini ya 18.
Poyet raia wa Uruguay, ambaye aliiokoa klabu hiyo kutoka kushuka daraja, alichukua umeneja wa Sunderland mwezi Oktoba 2013, kuziba nafasi ya Paolo di Canio.
Aliingoza timu hiyo katika mechi 75, akashinda mechi 23, akapoteza 22 na sare 30.
Aliingoza timu hiyo katika mechi 75, akashinda mechi 23, akapoteza 22 na sare 30.
KWA TAARIFA,BREAKING NEWS,RATIBA PAMOJA NA MATOKEO YA MECHI MBALIMBALI,LIKE PAGE YA FACEBOOK BONYEZA HAPA (Jamii na Michezo) .
0 Comments