Ticker

6/recent/ticker-posts

AUDIO:EL MERREIKH KUTUA NCHINI KESHO KUPAMBANA NA AZAM FC

Mhariri:Herman Kihwili IMEWEKWA.Feb.11,2015 SAA 12:00 JIONI
Al Merreikh

Azam Fc kwa mara ya kwanza itashiriki mashindano ya klabu bingwa barani Afrika,inatarajia kucheza mechi na yao ya kwanza
katika uwanja wao wa Azam Complex siku ya jumapili tarehe 15 na timu ya El Merreikh ya Sudani.
Kikosi cha Azam Fc
kwa mujibu wa Ofisa habari wa klabu ya Azam Fc Jaffari Idd Maganga,kikosi cha El Merreikh kinatarajiwa kuwasili siku ya kesho tarehe 12.

MSIKILIZE JAFFARI IDD MAGANGA


KWA TAARIFA,BREAKING NEWS,RATIBA PAMOJA NA MATOKEO YA MECHI MBALIMBALI,LIKE PAGE YA FACEBOOK  BONYEZA HAPA (Jamii na Michezo) . 

Post a Comment

0 Comments