Mhariri:Herman kihwili,IMEWEKWA.May. 06,2014 SAA 12:21 ASUBUHI
Mlizi wa Manchester United Phil Jones alipelekwa hospitali
baada ya kujeruhiwa bega lake wakati wa timu yake iliposhindi mabao 3-1 dhidi ya Hull City siku ya Jumanne, meneja Ryan Giggs aliweka wazi.
"amekwenda hospitali, hivyo tutaweza kufanya tathmini," Giggs alisema.
"Tutaona jinsi itakavyoonekana, lakini hatuoni kama ni kubwa."
Jones, 22, aliuumiza mwenyewe aliporuka juu na kugongana na Maynor Figueroa katikati kipindi cha kwanza cha mchezo wa Ligi Kuu katika uwanja wa Old Trafford na alisaidiwa kuondoka uwanjani na mmoja wa madaktari wa timu.
Habari hii itakuwa ni ya wasiwasi hasa kwa meneja wa England Roy Hodgson, ambaye anatarajiwa kutoja majina 23 ya kikosi chake kwa ajili ya Kombe la Dunia mwaka huu nchini Brazil siku ya Jumatatu.
Jones alishinda kofia tisa kwa timu ya England na alitarajiwa kuwa pamoja katika kikosi cha Hodgson.
0 Comments