Ticker

6/recent/ticker-posts

HABARI ZA UHAMISHO:PSG WAKO KATIKA MAZUNGUMZO NA DAVID LUIZ ILI KUMFANYA KUWA BEKI GHALI ZAIDI DUNIANI

IMEWEKWA.May. 23,2014 SAA 12:00 JIONI

Paris St Germain wako katika  mazungumzo na mchezaji wa Chelsea David Luiz na wako tayari kutoa kiasi  pauni
milioni 50.

Uhamisho, kama utafanikiwa, utamfanya mlinzi huyo wa Brazil  kuwa beki ghali zaidi duniani.
Luiz inaonekana kuwa ameona kuwa hana mahitaji ziada na bosi Chelsea Jose Mourinho.
Nahodha John Terry amesaini mkataba mpya wa mwaka mmoja , na Gary Cahill yuko katika mikakati ya baadaye ya timu ya Chelsea.
Luiz alijiunga na Chelsea mwaka 2011, wakati wa uhamisho wa dirisha la mwezi  Januari.

Post a Comment

0 Comments