Ticker

6/recent/ticker-posts

VIDEO:ANGALIA PENATI ZA AL AHLY NA YANGA,PAMOJA NA BAO LA AL AHLY

 Mhariri:Herman Kihwili,IMEWEKWA March. 10,2014 SAA 09:13 USIKU

Wawakilishi pekee wa Tanzania Young Africans wametolewa kwenye mashindano ya Klabu Bingwa Barani Afrika na mabingwa watetezi Al Ahly kwa mikwaju ya penati 4-3 kufuatia kumalizika kwa dakika 90 za mchezo Al Ahly ikiwa na bao 1- 0 hivyo kufanya
matokeo ya jumla kuwa 1-1 mchezo uliofanyika usiku wa jana katika Uwanja wa El Max jijini Alexadria.

Wapigaji wa Young Africans waliopiga ni
Nadir Haroub - alifunga                
Didier Kavumbagu - alifunga         
Emmanuel Okwi - alifunga            
Oscar Joshua - alikosa   iligonga mwamba           
Said Bahanuzi - alikosa ilitoka nje
Mbuyu Twite - alikosa iliokolewa na golikipa Ekramy

Al Ahly penati zao zilifungwa na
Abdalllah Said, Gedo, Trezeguet na Mohamed Nagieb huku mlinda mlango Deo Munshi akizipangua penati mbili za Saed Mowaeb na Hossan Ashour

VIDEO YA BAO LA AL AHLY 

 VIDEO YA PENATI

Kikosi cha Young Africans kilikuwa : 1.Dida, 2.Twite, 3.Oscar, 4.Cannavaro, 5.Yondani, 6.Domayo, 7.Msuva, 8.Ngasa/Chuji, 9.DKavumbagu, 10.Okwi, 11.Kizza/Bahanuzi

HAPA KIPA WA YANGA DIDA, ALIKUWA ANAFANYA NINI?  TOA MAONI YAKO.




Post a Comment

0 Comments