Mhariri:Herman Kihwili,IMEWEKWA March. 04,2014 SAA 02:50 USIKU
Shinji
Kagawa ana malengo ya kucheza mechi ya timu yake ya taifa ( Japan ) katika mechi yao ya kirafiki
dhidi ya New Zealand kwa
kuvutia,ikiwa ni katika jitihada zake za kuwa katika mipango
ya Meneja wa Manchester United David Moyes.
Mchezaji huyo wa kimataifa wa Japan imejitahidi kwa aina yake ya mcheza, akiwa chini ya Moyes msimu
huu, lakini mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24 bado ana nia ya kutumika katika Kombe la Dunia, na kuthibitisha kwamba anaweza kurudi katika Ubora wake.
Nyota huyo wa zamani wa Borussia Dortmund amejitokeza katika kikosi cha kwanza mara saba tu kwa michezo 27 United ya Ligi Kuu muda huu, na bado hajafunga bao.
"Bila
shaka ni muhimu kwa mchezaji kuendelea kucheza michezo, lakini hakuna
mengi ambayo naweza kufanya kuhusu hali yangu," Kagawa aliiambia Japan
Times.
"Ni jambo ambalo mimi sikuwa na uwezo wa kufanya isipokuwa Mimi hutoa matokeo".
"Siwezi kubadili hali, hivyo nataka kurejea katika hali nziri na kufanya vizuri (Jumatano).

0 Comments